Sunday 19 January 2014

EPL: MAN CITY YAPITA MAGOLI 100 BAADA YA KUMCHAPA CARDIFF


Manchester City imepita magoli 100 baada ya kumchapa Cardiff City mabao manne kwa mawili...mchezo ulikuwa mkali kwasababu Cardiff walivimbisha kifua na kufanya Man City kupata wakati mgumu kidogo...Bao la Dzeko ndio liliwafikisha kwenye magoli mia ambapo kati wa mechi 34 tu za mashindano wameweza kupata mabao mengi kiasi hicho...Haijawahi kutokea toka Premiership ianzishwe...Dzeko pia ni mchezaji wa kwanza kupewa goli kutokana na technolojia ya golini (Goal line technology) ambapo waamuzi wanaamua utata kama goli limeingia au la...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment