Friday 24 January 2014

SOCCER: MIDO AWA KOCHA WA ZAMALEK


Ahmed 'Mido' Hossam ametajwa kuwa ni kocha mpya wa timu kubwa ya Zamakel huko Egypt...Mido alikuwa mchezaji wa Tottenham na pia stiker wa timu ya Egypt...Inasemekana sasa ni kocha mdogo kuliko wote katika historia ya ulimwengu wa soka Egypt...Watu wanasema eti wewe ni mdogo lakini yeyey anasema yuko tayari kwa jukumu hilo...Zamalek ni timu kubwa sana Egypt na Afrika wamewahi kuchukua kombe mara 11 huko Egypt na mara 5 African Chapions...Bofya upate habari zaidi za striker Mido...

No comments:

Post a Comment