Monday 20 January 2014

NFL: DENVER BRONCOS YAINGIA FAINALI YA SUPER BOWL XLVIII


Denver Broncos ikiongozwa na Payton Manning imeichapa New England Patriots 26-16 katika fainali za AFC...Manning sasa ananafasi ya kushinda tena ubingwa mara ya pili wakikutana na Seattle Seahawks kwenye fainali ya Super Bowl XLVIII...Seattle imeichapa 49ers...Payton Manning alikuwa anaumwa kwa muda na alifanyiwa upasuaji kutokana na matatizo ya mishipa ya fahamu lakini sasa amejitahidi na kuingia fainali...

No comments:

Post a Comment