Saturday 25 January 2014

TENNIS: NADAL AINGIA FAINALI


Rafael Nadal ameingia fainali ya michuano mikubwa ya tennis ya Australian Open huko Melbourne Australia...Rafa ameonyesha kwamba yeye ni mkali kwa kumchapa Roger Federer set zote mfululizo 7-6 (4), 6-3, 6-3...Sasa atakutana na namba 8 duniani Stan Warwinka...Federer amechapwa na Rafa mara 23 kati ya 33 kati ya mikutano yao...Rafa ndio anatarajiwa kuutwa ubingwa wa Australian Open...Tusubiri kama itawezekana...

No comments:

Post a Comment