Tuesday 14 January 2014

FIFA: CRISTIANO RONALDO ASHINDA BALLON d'Or


Cristiano Ronaldo jana usiku alishida tuzo ya FIFA ya Ballon d'Or mwanasoka bora duniani...Ronaldo alimshinda Lionel Messi na Frank Ribery na kuchukua heshima hiyo...Mara ya mwisho Ronaldo kushinda hiyo tuzo ilikuwa 2008 wakati Messi alishinda mara nne mfululizo kabla ya mwaka huu...Ronaldo aliwashukuru wachezaji wa timu yake na timu ya taifa...Mwaka jana Ronaldo alifunga mabao 66 kati ya mechi 56 akichezea club yake na timu ya taifa...


  • Ballon d'Or: Cristiano Ronaldo
  • Women's world player: Nadine Angerer
  • Male coach: Jupp Heynckes
  • Female coach: Silvia Neid
  • Ballon d'Or Prix d'Honneur: Pele
  • Puskas goal award: Zlatan Ibrahimovic (Sweden v England)
  • Fifa Presidential Award: Jacques Rogge
  • Fair Play Award: Afghanistan Football Federation

Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment