Bingwa wa michuano ya Australian Open kutoka Uswiss Stanislas Wawrinka mwenye umri wa miaka 28 amekiri kuwa hakutegemea kushinda fainali dhidi ya bingwa wa dunia Rafael Nadal...Mafurahi kuwa namba tatu duniani na kumfunga bingwa wa dunia na anakuwa mchezaji wa kwanza kumfunga mmoja wa 'the big four' toka Del Potro 2009...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 27 January 2014
AUSTRALIAN OPEM: WAWRINKA AMEKIRI HAKUTEGEMEA KUSHINDA
Bingwa wa michuano ya Australian Open kutoka Uswiss Stanislas Wawrinka mwenye umri wa miaka 28 amekiri kuwa hakutegemea kushinda fainali dhidi ya bingwa wa dunia Rafael Nadal...Mafurahi kuwa namba tatu duniani na kumfunga bingwa wa dunia na anakuwa mchezaji wa kwanza kumfunga mmoja wa 'the big four' toka Del Potro 2009...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment