Friday 17 January 2014

TENNIS: SERENA AWEKA REKODI NYINGINE



Serena Williams kutoka marekani ameweka rekodi nyingine kwenye ulimwengu wa tennis kwa kuwa mwanamke ambaye ameshinda mechi nyingi duniani kwenye michano ya Australian Open...Sasa Serena ameshinda mechi 61 baada ya kumtwanga Daniela Hantuchova 6-3 6-3...Pamoja na joto kali ambalo liko huko Melbourne Australia Serena alichukua takriban saa moja na dakika ishirini kumchapa Daniela ambaye ni No. 31 duniani...Bofya hapa upate habari zaidi kutoka Melbourne Park...

No comments:

Post a Comment