Tuesday 14 January 2014

AUSTRALIAN OPEN: ANDY MURRY AMSHINDA GO SOEDA


Andy Murry (No. 4 Duniani) akicheza tennis kwenye joto kali alichukua dakika 87 tu kumchapa Go Soeda kutoka Japan 6-1 6-1 6-3...Murry sasa ameingia round ya pili ya michuano hiyo mikali huko Melbourne Ausralia...Mechi ijayo sasa atacheza na mfaransa Vincent Millot kwenye round ya pili...Murry ana kazi kwasababu lazima akutane na wakali wote wanne wa tennis na awachape ili aweze kushinda huko Melbourne...Pata habari zaidi hapa...

No comments:

Post a Comment