Friday 24 January 2014

EPL: MATA ANAHAMIA OLD TRAFFORD



Chelsea wamekubali kumwachia Mata.. dau lake ni pound za Uingereza milioni 32 rekodi kwa Manchester United...Mara ya mwisho Man wamelipa bei kubwa ilikuwa wakari wamemchukua Berbatov kwa pond za uingereza milioni 30.75...Mata inasemekana alikuwa ana issue na kocha Jose na alikuwa hapangwi sana na anaingia kama sub mechi nyingi...Labda Mata atawasaidia Man wakati huu wakiwa wanapata shida ya kushinda mara kwa mara...

No comments:

Post a Comment