Thursday 16 January 2014

DAKAR RALLY: STEPHANE PETERHANSEL AKARIBIA USHINDI


Stephane Peterhansel akichanja mbuga huko pwani ya Chile karibu anamfikia Nani Roma kwenye stage ya 11 ya mashindano hayo...Sasa wanapishana dakika mbili tu na baada ya siku moja tu alipunguza dakika 11 na sasa zimebakia kilometa 1,100 tu mashindano hayo yaishe...Bingwa wa 2010 Carlos Sainz aliaga hayo mashindano kwa kupata ajali..

No comments:

Post a Comment