Tuesday 28 January 2014

F1: PRE-SEASON TESTING INAANZA WIKI HII HUKO JEREZ


Formula One pre-season testing inaanza wiki hii huko Jerez Spain...Itakuwa siku nne za kutest magari yao ambayo pia wamebadilika kutokana na rules mpya za F1 kuhusu design ya gari...Timu zote zitatumia magari yao mapya mpaka sasa Ferrari, Force India, McLaren, Sauber na Lutus wameonyesha magayi yao mapya Toro Rosso wataonyesha gari lao jumatatu na Mabingwa Redbull na Mercedes wataonyesha gari lao jumanne...


Msimu huu utakuwa mgumu kidogo kwasababu wameruhuru tena Turbo kutumika...Turbo haijatumiwa toka 1988 pia kutakuwa na Hybrid technology (energy recovery)...Ingia hapa upate habari za F1...

No comments:

Post a Comment