Thursday 30 January 2014

EPL: MAN CITY YAIKIMBIZA TOTTENHAM


Manchester City jana iliikimbiza Tottenham na kuibuka na mabao 5-1...Aguero akifungua mlango mnamo dakika ya 15... Aguero kati ya mechi 8 kila mechi amefunga bao...Yaya Toure naye alipata bao kwa njia ya penalty wakati beki Danny Rose alipotolewa kwa kadi nyekundu na wachezaji kumlalamikia refa sana...Dzeko nae alipata goli na Jovetic ambaye aliingia baada ya Aguero alipata bao lakini aliumia Hamstring na anaweza kukosa mechi yake dhidi ya Chelsea jumatatu... Bofya hapa upate habari zaidi

No comments:

Post a Comment