Monday 27 January 2014

VPL: YANGA YAANZA VIZURI DURU YA PILI


Dar es Salaam Young Africans wameanza vizuri mzunguko wa pili wa ligi kwa kuwacgapa wauza mitumba Ashanti 2-1 uwanja wa taifa...Yanga ilipata wakati mgumu kigodo lakini ilichomoa na kushinda mwishoni...Yanga bado inaongoza ligi na pointi 31 ikifuatiwa na Azam point 30...Pia timu zingine kubwa ziliweza kufanya vizuri kama Azam iliichapa Mtibwa bao 1 kwa 0 na Mbeya City pia iliibuka na ushindi dhidi ya Kagera Sugar bao 1 kwa 0...

No comments:

Post a Comment