Monday 13 January 2014

BOXING: ROY JONES JR ASEMA KHAN ATAMSUMBUA MAYWEATHER



Roy Jones Jr. amesema Amir Khan ni boxer mzuri na akizichapa na Mayweather atamsumbua kwasababu anaweza kutoka kwenye situation nzito na kubox vizuri...Kama wakikutana May 3 Jones anaona Khana atafanya pambano liwe la kusisimua kutokana na style ya Khan ya kuzichapa na pia urefu utamsaidia...Lakini pia alisema Mayweather ni mzuri zaidi na ananguvu zaidi...

Tatizo moja Jones Jr anasahau ni kwamba Khan ni mbishi na ni kazi kumruddisha katika form yake ya kubox ya awali...Khan kafulia kiaina sasa na anabahati kupambana na bingwa...Welterweight contender Kell Brook kutoka Uingereza pia anasema Khana hana chance ya kushinda dhidi ya bingwa wa dunia Floyd Mayweather...Acha tu tusubiri pambano hilo...

1 comment: