Thursday 17 December 2015

BREAKING NEWS: JOSE MOURINHO ATIMULIWA


Habari moto moto zilizoingia hapa Max Sports ninasema Jose Mourinho ametimuliwa Chelsea...Chelsea wako hatiani kushuka daraja na mwenye timu Roman Abramovich kashindwa kuvumilia na kumtimua Jose Mourinho...The Special one mwanzo wa msimu aligombana na doctor wa Chelsea, Eva Carneiro, na hatimaye huyo doctor kuondoka baada ya hapo timu imefungwa mara 9 na sasa iko point 1 juu ya relegation stage...Bofya hapa upate habari hii moto kabisa

No comments:

Post a Comment