Tuesday 31 March 2015

COLOMBIA: RADAMEL FALCAO AFIKIA REKODI YA MAGOLI


Striker ambae ametoka Monaco na sasa yuko Manchester United kwa mkopo, Radamel Falcao, amefikia rekodi ya mabao katika timu ya taifa ya Colombia...Falcao amefikia rekodi ya Arnoldo Iguaran ya mabao 24...


Falcao mkataba wake wa pounds 265,000 kwa wiki unaisha mwisho wa msimu huu na Mnchester wakikubali kumshikilia inabidi watoe ounds milioni 43.5...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment