Monday 23 March 2015

EL CLASICO: BARCELONA YAILAZA REAL MADRID KWENYE GAME YENYE UPINZANI MKUBWA SANA


Barcelona kupitia Luis Suarez kipindi cha 2 wameifunga Real Madrid na kuendelea kuongoza la liga kwa points 4...


Barcelona walianza vizuri kipindi cha kwanza lakini Real walizinduka na kuanza kushambulia kwa kasi na hatari moja ilitokea wakati Ronaldo akipokea cross ya Karim Benzema lakini hakuwa na nafasi nzuri ya kumalizia na akagonga mwamba...


Suarez mnamo dakika ya 56 akitingisha nyavu na kuwaamsha mashabiki wa Barca kwa bao lake safi kabisa...Bofya haa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment