Sunday 29 March 2015

F1: FERRARI WASHINDA MALAYSIA GP


Dereva mpya wa Ferrari Sebastian Vettel ameshinda Malaysian Grand Prix...Ferrari kwa miaka mingi walikuwa wanasuasua na sasa wamepata dereva ambae anaweza kuchuana na timu ya Mercedes...Lewis Hamilton ameibuka mshindi wa 2 ingawa alianza wa kwanza kwenye Grid...Hamilton na timu yake ya Mercedes walipitwa kutokana na mkakati wa matairi waliyochagua...


Nico Rosberg aliibuka mshindi wa 3 mbele ya Kimi Raikkonen nae yuko team Ferrari...Msimu huu Mercedes watapata upinzani mkubwa kutoka kwa Ferrari...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment