Monday 23 March 2015

BNP PARIBAS OPEN: DJOKOVIC AMCHAPA ROGER FEDERER NA KUCHUKUA UBINGWA INDIAN WELLS


Bingwa wa dunia Novak Djokovic amemchapa bingwa wa zamani Roger Federer 6-3 6-7 (5-7) 6-2 na kunyakua kombe la BNP Paribas Open huko Indian Wells California Marekani...Djokovic alijitahidi set ya kwanza lakini set ya 2 Federer alikomaa na kulazimisha tie-break...Djokovic sasa ameshinda vikombe 50 na ni mara ya 4 anashinda hapo Indian Wells...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment