Thursday 26 March 2015

VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAZIDI KUSONGA MBELE


Simon Msuva apachika mabao 2 akisaidiwa na Danny Mrwanda bao la 3 mabao ambayo yamewasogeza Yanga pointi 4 mbele ya timu zingine...Yanga walishinda 3-1 dhidi ya Ruvu JKT jana kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam...


Yanga sasa wana points 40 katika mechi 19 wakifuatiwa na Azam points 36 na Simba points 32...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment