Monday 30 March 2015

BOXING: KELL BROOK ABAKIA NA MKANDA WA IBF WELTERWEIGHT


Kell Brook amtwanga Jo Jo Dan ndani ya round ya 4 n kubakina na mkanda wa IBF Welterweight...Kell Brook alionekana yuko fit na anakiu ya ushindi ndani ya Motorpoint Arena huko Sheffield kabla ya taulo kurushwa ndani kusimamisha pambano hilo round ya 4...Brook alipanda taratibu kenye ngazi za boxing na sasa ni boxer mwenye ushindi wa mechi 34 na alijulikana duniani mwaka jana mwezi wa 8 aliposhinda pambano lake dhidi ya Shawn Porter huko Carson California...Brook sasa anamtaka Amir Khan katika bambano lake lijalo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment