Monday 30 March 2015

WORLD CROSS COUNTRY CHAMPIONSHIP: GEOFFREY KIPSANG BINGWA MASHINDANO YA 41 HUKO CHINA


Geoffrey Kipsang ameshinda mbio kali za Cross Country huko Guiyang China...Mkenya Bedan Karoki Muchiri aliibuka mshindi wa 2 na Muktr Edris alichukua nafasi ya 3...Kipsang ambae alitumia dakika 34 na sekunde 52 alisaidiwa kutokana na mkakati wa kusaidiana kitimu na wenzake...Bofya haa upate bahari zaidi.

No comments:

Post a Comment