Sunday 29 March 2015

CRICKET WORLD CUP: AUSTRALIA MABINGWA WA DUNIA


Australia imenyakua ubingwa wa dunia wa Cricket baada ya kuichapa New Zealand...Mambo yalimalizika New Zealand wakiwa na 183 na Australia 186-3...Kombe lilikabithiwa Captain wa timu ya Australia Michael Clarke mbele ya umati wa watu zaidi ya 93,000 kwa shangwe na makofi mengi sana na baada ya kupewa kombe alienda timu yake iliposimama na kunynyua kombe juu...


Man of the match alichukua James Faulkner...Hii ni mara ta 4 Australia wamechukua ndani ya miaka 5...Bofya hapa upate habari zaidi.

1 comment:

  1. James Faulkner and David warner are my favourite cricket players in Australia I really loves batting style of both players.

    ReplyDelete