Friday 27 March 2015

EPL: JOHN TERRY AONGEZA MKATABA DARAJANI


John Terry ataendelea kukaa darajani mpaka msimu 2015-2016...Jose Mourinho amesema mkataba mpya sio kwamba wanamshukuru Terry lakini Terry ni mchezaji mzuri na ni beki makini sana...Terry toka aingie darajani 1998 ameshinda vikombe 13 vikiwemo Champions Legue, Europa League, Premier League mara 3, FA Cup 5 n League Cup 3...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment