John Terry ataendelea kukaa darajani mpaka msimu 2015-2016...Jose Mourinho amesema mkataba mpya sio kwamba wanamshukuru Terry lakini Terry ni mchezaji mzuri na ni beki makini sana...Terry toka aingie darajani 1998 ameshinda vikombe 13 vikiwemo Champions Legue, Europa League, Premier League mara 3, FA Cup 5 n League Cup 3...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 27 March 2015
EPL: JOHN TERRY AONGEZA MKATABA DARAJANI
John Terry ataendelea kukaa darajani mpaka msimu 2015-2016...Jose Mourinho amesema mkataba mpya sio kwamba wanamshukuru Terry lakini Terry ni mchezaji mzuri na ni beki makini sana...Terry toka aingie darajani 1998 ameshinda vikombe 13 vikiwemo Champions Legue, Europa League, Premier League mara 3, FA Cup 5 n League Cup 3...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment