Tuesday 24 March 2015

TFF: JAMAL MALINZI ATUMA SALAM ZA PONGEZI KWA TWIGA STARS


Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ametuma salam za pongezi kwa timu ya Twiga Stars ambayo ni timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake baada ya kuwachapa timu ya Taifa ya Wanawake ya Zambia (She-Polopolo) mabao 4-2...Malinzi amesema ushindi huo ni matokeo ya umakini wa maandlizi mazuri chini ya kocha Rogasian Kaijage pamoja na TFF...Timu hizo zitarudiana jijini Dar es Salaam kati ya tarehe 10 na 12 na mshindi atafuzu kucheza All Africa Games huko Congo Brazzaville Septemba 3-18 mwaka huu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment