Tuesday 24 March 2015

EPL: MARTIN SKRTEL WA LIVERPOOL ASHTKIWA KWA KUMKANYAGA DAVID DE GEA


Martin Skrtel amshtakiwa na FA baada ya kumfanyia rafu mbaya ya kumkanyaga kip awa Manchester United David De Gea...Tukio hilo lilifanyika dakika za majeruhi kwenye mechi ambayo Manchester United walishinda 2-1 ndani ya Anfield...


Mechi hiyo hiyo iliona Steve Gerrard akitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kucheza dakika 38 tu...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment