Milos Raonic ameshinda mechi yake ya robo fainali kwa kumchapa na kumshangaza bingwa Raphael Nadal...Raonic ameweza kuokoa match points 3 na kushinda mechi kali ya BNP Paribas Open ndani ya Indian Wells...Seti ya kwanza alishinda Rafa 4-6 lakini baada ya hapo Raonic aliweza kushinda seti zilizobaki 7-6 (12-10) 7-5...Raonic sasa atakutana na Roger Federer kwenye nusu fainali...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 21 March 2015
BNP PARIBAS OPEN: RAONIC AMSHANGAZA RAFA
Milos Raonic ameshinda mechi yake ya robo fainali kwa kumchapa na kumshangaza bingwa Raphael Nadal...Raonic ameweza kuokoa match points 3 na kushinda mechi kali ya BNP Paribas Open ndani ya Indian Wells...Seti ya kwanza alishinda Rafa 4-6 lakini baada ya hapo Raonic aliweza kushinda seti zilizobaki 7-6 (12-10) 7-5...Raonic sasa atakutana na Roger Federer kwenye nusu fainali...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment