Monday 23 March 2015

NSSF CUP: JAMBO LEO WAINGIA MITINI BAADA YA KICHAPO CHA 3-0

Jambo Leo wakiingia mitini game...
NSSF wamewachapa Jambo Leo 3-0 mpaka wakaondoka uwanjani eti kisa uwanja mbaya umejaa maji...Sijui hayo maji yalikuja baada ya bao la 3 maana mvua zinazoendelea kunyesha bado hazijaacha jijini Dar es Salaam...Baada ya mwamuzi kutoa dakika 15 akiwasubiri Jambo Leo warudi uwanjani na alivyoona hawarudi aliamua kuwapa NSSF ushindi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment