Monday 30 March 2015

MIAMI OPEN: VERDASCO AMTOA RAFA


Namba 2 duniani Rafael Nadal ametolewa kwenye mashindano ya Miami Open na mspanish mwenzake Fernando Verdasco....Nadal ambae hajawahi kuchukua kombe hilo huko Miami alichapwa 6-4 2-6 6-3 bila ubishi...Rafa alijaribu kurudi vizuri set ya 2 lakini alivunywa mara 3...Sehemu nyingine Any Murray nae alianikiwa kushinda mechi yake dhidi ya Santiago Giraldo 6-3 6-4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment