Saturday 28 March 2015

TETESI: MAN U WAKO TAYARI KUTOA MILIONI 80 KUMNYAKUA RONALDO


Manchester United wako tayari kutoa dau la milioni 80 pounds kumnyakua Cristiano Ronaldo lakini bado mapema kujua mambo yatavyoenda...


Sehumu nyingine Jose Morinho yuko tayari kumchukua mchezaji wa Valencia na kiungo mshambuliaji wa Portugal Andre Gomes mwenye umri wa miaka 21 na mwenye dau la milioni 36 pounds...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment