Wednesday 1 April 2015

TENNIS: ANDY MURRAY APATA USHINDI YA 500


Andy Murray bingwa wa tennis Uingereza ameshinda mechi yake ya 500...Murry amekuwa mtu wa kwanza kutoka Uingereza kushinda mechi 500...Katika hizo mechi 500 alizoshinda Murray 70.8% ni kwenye hard court, 14.6% ni court ya majani, na 12.6% ni clay court....Bofya hapa upate takwimu sahihi za Andy Murray.

No comments:

Post a Comment