Sunday 19 April 2015

EPL: CHELSEA YAZIDI KUSONGA MBELE


Chelsea imezidi kujisogeza karibu na ubingwa kwa ushindi dhini ya Manchester United jana...Game ilikuwa kali na Manchester walijithidi sana lakini Chelsea walihitaji bao 1 tu na points 3 kuwaweka points 10 mbele ya Arsenal ambao wako nafasi ya 2...


Boss wa Chelsea, Jose Mourinho, anawatania Man U eti wachezji wote wazuri wa Man wako mfukoni kwa Chelsea...Pamoja na Man U kuwa na mpira muda mwingi na chances nyingi bado gale ilikuwa ya Cheelsea...Bofya hapa upate habari zaidi.



No comments:

Post a Comment