Thursday 30 April 2015

PROFESSIONAL FOOTBALLERS' ASSOCIATION: EDEN HAZARD AFURAHIA KUWA MCHEZAJI BORA


Eden Hazard amefurahi sana kushinda tuzo ya PFA ya mchezaji bora 2014-2015 ambapo mwaka jana alishinda mchezaji bora kijana wa mwaka...Harry Kane alikuwa mshindi wa 2 na David de Gea mshindi wa 3...Tuzo hiyo ya PFA inahusisha wachezaji wenyewe kuchagua wachezaji bora kwahiyo Hazard amefurahi kupata tuzo hiyo yenye heshima ya aina yake...Hary Kane alishinda tuzo hiyo ya PFA upande wa mchezaji bora kijana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment