Friday 10 April 2015

BARCELONA: DANI ALVES KUONDOKA BARCA


Dani Alves ataondoka Barcelona baada ya kupiga chini mkataba mmpya Barca waliotaka kumpa...Baada ua maongezi kuvunjika agent wa Alves, Dinorah Santana,  amesema Barca walimpa mkataba wa mwaka 1 mpaka miaka 3 kama atacheza asillimia 60 ya mechi...Timu nyingi zinamtaka ikiwemo Paris-Saint-Germain na Manchester United...Bofya hapa upate habari zaidi,

No comments:

Post a Comment