Mussa Hassan 'Mgosi' wa Mtibwa Sugar amewanyima Azam pointi 3 kupitia bao lake lililosababisha draw ya 1-1...Azam FC ndo walioanza ufunga mwanzoni kwenye dakika ya 16 ndani ya uwanja wa Manungu lakini uzembe wa mabeki ulisababisha Mtibwa usawazisha...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 12 April 2015
VODACOM PREMIER LEAGUE: MGOSI AWASHIKA SHATI AZAM FC
Mussa Hassan 'Mgosi' wa Mtibwa Sugar amewanyima Azam pointi 3 kupitia bao lake lililosababisha draw ya 1-1...Azam FC ndo walioanza ufunga mwanzoni kwenye dakika ya 16 ndani ya uwanja wa Manungu lakini uzembe wa mabeki ulisababisha Mtibwa usawazisha...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment