Pep Guardiola na timu yake ya Bayern Munich watakutana na timu yake ya zamani Barcelona katika 4 bora waliobaki...Carlo Ancelotti na timu yake ya Real Madrid watacheza na Juventus...Mechi hizo zitafanyika May 5 na May 6 na mzunguko wa 2 utafanyika wiki moja baada ya hapo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 25 April 2015
CHAMPIONS LEAGUE: PEP GUARDIOLA KUKUTANA NA BARCA
Pep Guardiola na timu yake ya Bayern Munich watakutana na timu yake ya zamani Barcelona katika 4 bora waliobaki...Carlo Ancelotti na timu yake ya Real Madrid watacheza na Juventus...Mechi hizo zitafanyika May 5 na May 6 na mzunguko wa 2 utafanyika wiki moja baada ya hapo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment