Saturday 25 April 2015

CHAMPIONS LEAGUE: PEP GUARDIOLA KUKUTANA NA BARCA


Pep Guardiola na timu yake ya Bayern Munich watakutana na timu yake ya zamani Barcelona katika 4 bora waliobaki...Carlo Ancelotti na timu yake ya Real Madrid watacheza na Juventus...Mechi hizo zitafanyika May 5 na May 6 na mzunguko wa 2 utafanyika wiki moja baada ya hapo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment