Monday 27 April 2015

NBA: CLIPPERS YALIPIZA KISASI KWA SPURS


Spurs imejikuta inapelekwa shule bila kujitambua na LA Clipper na hii ni baada ya Spurs kuwachapa sana Clippers game ya 3 ya round ya 1 ya Playoffs...Kocha wa Clippers Doc Rivers baada ya game ya 3 hakuipeleka timu yake mazoezi lakini aliwapeleka kwenye holi ili watafakari makosa yao na kila mmoja alipewa vipande vyake na kuwaonyesha sinema ya mechi iliyopita...Baada ya hapo game 4 ilikuwa tofauti sana na somo likaeleweka hatimae kuwapeleka shule Spurs ambao walijua game watashinda tu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment