Spurs imejikuta inapelekwa shule bila kujitambua na LA Clipper na hii ni baada ya Spurs kuwachapa sana Clippers game ya 3 ya round ya 1 ya Playoffs...Kocha wa Clippers Doc Rivers baada ya game ya 3 hakuipeleka timu yake mazoezi lakini aliwapeleka kwenye holi ili watafakari makosa yao na kila mmoja alipewa vipande vyake na kuwaonyesha sinema ya mechi iliyopita...Baada ya hapo game 4 ilikuwa tofauti sana na somo likaeleweka hatimae kuwapeleka shule Spurs ambao walijua game watashinda tu...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 27 April 2015
NBA: CLIPPERS YALIPIZA KISASI KWA SPURS
Spurs imejikuta inapelekwa shule bila kujitambua na LA Clipper na hii ni baada ya Spurs kuwachapa sana Clippers game ya 3 ya round ya 1 ya Playoffs...Kocha wa Clippers Doc Rivers baada ya game ya 3 hakuipeleka timu yake mazoezi lakini aliwapeleka kwenye holi ili watafakari makosa yao na kila mmoja alipewa vipande vyake na kuwaonyesha sinema ya mechi iliyopita...Baada ya hapo game 4 ilikuwa tofauti sana na somo likaeleweka hatimae kuwapeleka shule Spurs ambao walijua game watashinda tu...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment