Tuesday 21 April 2015

ADIDAS PRIMEKNIT 2.0: SUAREZ NA WENGINE WACHACHE WATATINGA NA BUTI MPYA KABISA KUTOKA ADIDAS


Adidas wamtoa kifaa kipya kabisa chenye imahiri wa hali ya juu kabisa ambachi kina jina la Adidas primeknit 2.0...


Miongoni mwa wachezaji watakaovaa buti mpya leo kwenye mechi za Champions League ni Luis Suarez wa Barcelona, Lucas Moura na Ezequiel Lavezzi wa PSG...


Wengine ni Fabinho wa Monaco, Fernando Torres wa Atletico Madrid, Juan Bernat wa Bayern Munich, na Alvaro Morata wa Juventus...


Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment