Tuesday 28 April 2015

YANGA: JAMAL MALINZI AIPONGEZA YANGA


Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania Jamal Malinzi ametuma salaam za pongezi kwa Mwenyekiti wa timu ya Dar es Salaam Young Africans kwa kutwaa ubingwa msimu huu...


Yanga wana chukua ubingwa kwa mara ya 25 na sasa Malinzi kawaambia waanze kujianda na michuano ya kimataifa mapema....Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment