Tuesday 21 April 2015

NBA: JIMMY BUTLER APATA CAREER HIGH NYINGINE NA KUISAIDIA BULLS USHINDI MWINGINE


Jimmy Butler amepata points 31 ambazo hajawahi kupata kwenye playoffs katika game yao ya 2 dhidi ya Milwaukee Bucks...Game ya kwanza alipata points 25 na sasa ameongeza mpaka 31 na points 14 kati ya hizo zilitoka kipindi cha 4...Derrick Rose nae alipata points 15 na zote zilitoka kipindi cha 2 wakati Paul Gasol akiata points 11 na rebounds 16...Game ya 3 itakuwa Alhamisi usikose...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment