Bingwa wa dunia Novak Djokovic atakutana na Rafael Nadal kwenye nusu fainali ya michuano mikali ya Monte Carlo Masters...Djokovic limchapa bingwa wa US Open Marin Cilic 6-0 6-3 na alitumia dakika 63 tu kumaliza gamee...Nadal alipata shida kidogo kumchapa David Ferrer na alishinda 6-4 5-7 6-2 na mechi ilikuwa ya masaa 2 na dakika 45...Nadal amewahi kushinda mara 8 hapo Monte Carlo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 18 April 2015
MONTE CARLO MASTERS 2015: DJOKOVIC KUKUTANA NA RAFA NUSU FAINALI
Bingwa wa dunia Novak Djokovic atakutana na Rafael Nadal kwenye nusu fainali ya michuano mikali ya Monte Carlo Masters...Djokovic limchapa bingwa wa US Open Marin Cilic 6-0 6-3 na alitumia dakika 63 tu kumaliza gamee...Nadal alipata shida kidogo kumchapa David Ferrer na alishinda 6-4 5-7 6-2 na mechi ilikuwa ya masaa 2 na dakika 45...Nadal amewahi kushinda mara 8 hapo Monte Carlo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment