Saturday 18 April 2015

MONTE CARLO MASTERS 2015: DJOKOVIC KUKUTANA NA RAFA NUSU FAINALI


Bingwa wa dunia Novak Djokovic atakutana na Rafael Nadal kwenye nusu fainali ya michuano mikali ya Monte Carlo Masters...Djokovic limchapa bingwa wa US Open Marin Cilic 6-0 6-3 na alitumia dakika 63 tu kumaliza gamee...Nadal alipata shida kidogo kumchapa David Ferrer na alishinda 6-4 5-7 6-2 na mechi ilikuwa ya masaa 2 na dakika 45...Nadal amewahi kushinda mara 8 hapo Monte Carlo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment