Saturday 25 April 2015

EPL: RYAN GIGGS KUMRITHI LOUIS VAN GAAL


Ryan Giggs anategemea kumrithi Louis Van Gaal endapo Van Gaal ataondoka Old Trafford...Van Gaal aliwaambia MUTV kwamba anategemea kocha msaidizi Giggs kumrithi akiondoka....Van Gaal mkataba wake unaisha 2017 amesema pia Manchester United wametoa ofa ya pesa nyingi ili kipa David De Gea abaki Man U kwani kuna timu nyingi zinamtaka ikiwepo Real Madrid...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment