Monday 13 April 2015

VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YACHUNGULIA KOMBE BAADA YA USHINDI DHIDHI YA MBEYA CITY


Dar es Salaam Young Africans wameichapa Mbeya City 3-1 na kusogea karibu kombe wakiwa na pointi 8 mbele ya wengine...Yanga waliwachapa Mbeya City ambao walikuwa 10 baada ya Themi Felix kutolewa nje na mabao yalitoka kwa Kpah Sherman Liberian international, Salum Telala na kifaa Nadir Haroub...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment