Monday 20 April 2015

MONTE CARLO MASTERS 2015: NOVAK DJOKOVIC BINGWA


Bingwa wa dunia Novak Djokovic ameshinda Masters yake ya 3 mfululizo mwaka huu na kuwa mtu wa kwanza kufanya hivyo...Novak alimchapa namba 6 duniani Tomas Berdych 7-5 4-6 6-3 na sasa anaitolea macho French open itayoanza mwezi ujao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment