Sunday 31 May 2015

FA CUP: ARSENAL YAWEKA REKODI KWA KUSHINDA TENA KOMBE LA FA


Arsenal wameshinda kombe kongwe la FA ndani ya uwanja wa Wembley jana...Arsenal waliwachapa Aston Villa 4-0 bila ubishi katika game kali sana jana jioni...Mpira waliocheza Arsenal ulikuwa wa kiwango cha juu sana mwanzo mwisho na kufanikiwa kupata mabao 4 ya akili...


Rekodi ya jana ya Arsenal ni ya vikombe 12 vya FA...Arsenal imekuwa timu yenye vikombe vingi vya kuliko timu yeyote...Kombe hilo lilikabidhiwa na Prince William mjukuu wa kwanza wa Malkia...Prince William ni mshabiki wa timu ya Villa..Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment