Thursday 21 May 2015

F1: LEWIS HAMILTON KUBAKIA MERCEDES


Lewis Hamilton atendelea kubakia team Mercedes kwa miaka 3 ijayo tofauti na uvumi kwamba anahamia team ya Ferrari...Lewis ametia saini mkataba wa kubakia Mercedes ambapo atapokea pounds milioni 27 kwa mwaka kwa miaka 3...Lewis amesema amefurhi kubakia Mercedes na pia gari analoendesha sasa ni bora kuliko yote ya nyuma...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment