Friday 29 May 2015

EPL: SOUTHAMPTON WAKATAA DAU LA LIVERPOOL


Southampton wametupa mbali ombi la Liverpool la kumnyakua beki wa kulia Nathaniel Clyne kwa pounds milioni 10...Liverpool wataruditena na dau jipya kwa kuwa beki wao Glen Johnson anamalizia mkataba wake hivi karibuni...Nathaniel Clyne mwenye umri wa miaka 24 alitoka Crystal Palace kabla ya kuingia Southampton July 2012...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment