Monday 25 May 2015

F1: TOTO WOLFF AMWOMBA RADHI LEWIS HAMILTON


Toto Wolff boss na mmiliki wa 30% Mercedes 
Mercedes kupitia boss Toto Wolff amemwomba radhi Lewis Hamilton baada ya team ya Mercedes kuchemsha masesabu yaliyofanya Hamilton ashindwe kushinda Monaco GP....Wolf amesema anaomba msmaha na hilo kosa litashughulikiwa...

Lewis akitoa gari tayari kwa mashindanio
(Getty Images)
Hamilton hakulaumu timu ya yake ya Mercedes lakin ialikasirika sana na kusema haisumbui atajaribu tena...Bofya hapa uate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment