Lewis Hamilton ataanza mbele kabisa kwa mara ya kwanza katika maisha yake ya F1...Hamilton alimpita mwenzake Nico Rosgerg kwa sekunde 0.342...Sebastian Vettel wa Ferrari akichukua nafasi ya 3 na Ricciardo wa Red Bull nafasi ya 4...Hamilton amefurahi sana na kusema imechukua muda mrefu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 23 May 2015
F1: LEWIS HAMILTON KWA MARA YA KWANZA ATAANZA MBELE MONACO GP
Lewis Hamilton ataanza mbele kabisa kwa mara ya kwanza katika maisha yake ya F1...Hamilton alimpita mwenzake Nico Rosgerg kwa sekunde 0.342...Sebastian Vettel wa Ferrari akichukua nafasi ya 3 na Ricciardo wa Red Bull nafasi ya 4...Hamilton amefurahi sana na kusema imechukua muda mrefu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment