Saturday 23 May 2015

F1: LEWIS HAMILTON KWA MARA YA KWANZA ATAANZA MBELE MONACO GP


Lewis Hamilton ataanza mbele kabisa kwa mara ya kwanza katika maisha yake ya F1...Hamilton alimpita mwenzake Nico Rosgerg kwa sekunde 0.342...Sebastian Vettel wa Ferrari akichukua nafasi ya 3 na Ricciardo wa Red Bull nafasi ya 4...Hamilton amefurahi sana na kusema imechukua muda mrefu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment