Dnipro itakutana na wakali kwenye fainali za Europa 2015...Dnipro iliichapa Napoli bao 1 na kuongoza aggregate ya 2-1...Timu ya Rafael Benitez Napoli walishinda game 10 mfululizo mpaka walivyosimamishwa na Dnipro na sasa Dnipro itaingia fainali na Sevilla ambao waliichapa Fiorentina mabao 2-0 na aggragate ya 5-0 huko Italy...Fainali itachezewa Warsaw May 27...Usikose fainali kali sana....Bofya hapa upae habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 15 May 2015
EUROPA CUP 2015: SEVILLA NA DNIRPO NDAI YA FAINALI
Dnipro itakutana na wakali kwenye fainali za Europa 2015...Dnipro iliichapa Napoli bao 1 na kuongoza aggregate ya 2-1...Timu ya Rafael Benitez Napoli walishinda game 10 mfululizo mpaka walivyosimamishwa na Dnipro na sasa Dnipro itaingia fainali na Sevilla ambao waliichapa Fiorentina mabao 2-0 na aggragate ya 5-0 huko Italy...Fainali itachezewa Warsaw May 27...Usikose fainali kali sana....Bofya hapa upae habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment