Friday 15 May 2015

EUROPA CUP 2015: SEVILLA NA DNIRPO NDAI YA FAINALI


Dnipro itakutana na wakali kwenye fainali za Europa 2015...Dnipro iliichapa Napoli bao 1 na kuongoza aggregate ya 2-1...Timu ya Rafael Benitez Napoli walishinda game 10 mfululizo mpaka walivyosimamishwa na Dnipro na sasa Dnipro itaingia fainali na Sevilla ambao waliichapa Fiorentina mabao 2-0 na aggragate ya 5-0 huko Italy...Fainali itachezewa  Warsaw May 27...Usikose fainali kali sana....Bofya hapa upae habari zaidi.

No comments:

Post a Comment